Quantcast
Channel: Makubwa Haya website entertinment celebrity News of Tanzania

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge waridhia msimamo wa Serikali wa kutokusaini mkataba wa EPA

Wabunge wameridhia rasmi msimamo wa serikali wa kutokusaini mkataba wa ubia wa uchumi ' EPA' baina ya nchi za jumuia ya Afrika Mashariki na umoja wa ulaya. ==>Sikia michango ya baadhi ya wabunge...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Etihad yazindua safari za Johnnesburg kwa kutumia ndege ya kisasa aina ya...

Shirika la Ndege la Etihad kupitia ndege yake ya Boeing 787 Dreamliner limeanzisha safari zake mpya katika Jiji la Johnnesburg kuanzia tarehe 01 Novemba 2016 mchana kwa uzinduzi wa ndege hiyo kutoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Alikiba Ameshinda MTV Ema Kwa Kura Lakini ni Ukweli Hakustahili zaidi ya Wizkid!

Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu Alikiba kupokonywa ushindi huko MTV EMA.Naomba hapa nitumie nafasi hii kufafanua kilichotokea ili kuweza kuondoa huu utata.Kwa mujibu wa Mtv Ema Alikiba ameshinda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Atuma Salamu za Rambirambi Kufuatia Kifo c ha Joseph Mungai

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Filamu ya Wema na Van Vicker ‘Day After Death’ kuzinduliwa Valentine’s Day

Baada ya kiu ya muda mrefu kwa mashabiki wa filamu wa Wema Sepetu hatimaye mwigizaji huyo amesema filamu yake na mwigizaji wa Nigeria, Van Vicker ‘Day After Death’ itazinduliwa Valentine’s Day.Malkia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cristiano Ronaldo ashinda tuzo ya Alfredo di Stefano

Mchezaji wa klabu ya Real Madrid Cristiano Ronaldo ameshinda tuzo ya Alfredo di Stefano ya mchezaji bora wa La Liga msimu uliopita iliyotolewa na gazeti la Marca jana muda mfupi baada ya kusaini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwimbaji Jux Awachana MTV Kwa Kutaka Kumnyima Ali Kiba Tuzo

Jux amewachana MTV kwa blunder waliyoifanya kwenye tuzo za EMA mwaka huu. Ni baada ya hapo awali kumtangaza Wizkid mshindi ilhali aliyepata kura nyingi alikuwa Alikiba – ambaye Jumatano hii wamempa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Kuhusu Kumsaliti Zari Asema 'Simba Hawezi Kupita Kundi la Swala Bila...

Diamond platnumz amesema kuwa yupo anajichanganya na wanawake wengi sana, anawindwa sana na wanawake na yeye akiamua kuwinda hakosi yoyoteNa pia amejifananisha yeye na simba na wanawake ni swala na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND Afunguka Kuhusu Familia Ilivyombadilisha, Kumsaliti Zari, Nyumba ya...

Nilipokuwa Lagos, Nigeria, siku mbili kabla ya kufanyika kwa tuzo za Afrima, nilikaa kitako na Diamond Platnumz kuzungumza mambo mbalimbali kuhusu muziki na maisha yake binafsi. Haya ni sehemu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nuh Mziwanda afunga ndoa na mrembo huyu

Mkali wa wimbo Jike Shupa, Nuh Mziwanda ameingia kwenye list ya mastaa wa bongofleva waliofunga ndoa mwaka 2016 baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu aitwae Nawal.Muimbaji huyo ambaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sasa unaweza kupima HIV kwa kifimbo hiki cha USB

Una wasiwasi kuwa mchepuko uliolala nao jana unaweza ukawa hauko salama na unataka kupima ngoma? Hutohitaji kwenda hospitali kujua afya yako, kifimbo hiki cha USB kinaweza kukupa majibu iwapo umeukwaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majina ya vipengele vingine viwili ya EATV Awards yatajwa, nao ni

Majina mengine ya wasanii kutoka kwenye vipengele viwili kati ya 10 watakaowania tuzo za EATV Awards zinazotarajiwa kufanyika Disemba 10 ya mwaka huu kwenye ukumbi wa Mlimani City yametangazwa Alhamisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Alipomtembelea na Kumjulia Hali Mke wake na Wagonjwa wengine...

Mke wa Rais wa Tanzania John Magufuli, Janeth, amelazwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili. Jana  Ikulu imetoa picha ya Rais Magufuli akimjulia hali katika wodi ya Sewa Haji.Taarifa ya ikulu...

View Article


YOUNGKILLER MSODOKI - MTAFUTAJI (OFFICIAL VIDEO)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARACK OBAMA NA FAMILIA YAKE KUHAMIA KWENYE MJENGO HUU

Baada ya Donald Trump kutangazwa kuwa mshindi katika kura za Uraisi nchini Marekani, hebu pata nafasi ya kutazama mjengo ambao atakwenda kuishi Barack Obama akishatoka White House.Mjengo huo ambao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shilole Ampongeza Nuh Mziwanda baada ya Kufunga ndoa Kimya Kimya

Shilole amempongeza Nuh Mziwanda kwa kuongeza idadi ya wasanii walioukimbia ukapera baada ya kufunga ndoa kimya kimya na mpenzi wake Nawal.Kupitia mtandao wa Instagram, Shilole ameandika ujumbe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tatizo la Fangasi Sehemu za Siri

Maambukizi ya fangasi katika sehemu za siri za mwanamke husababishwa na uwepo wa fangasi wanaojulikana kitaalamu kama Candida albicans. Maambukizi haya pia hujulikana kama yeast infection au thrush....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mange Kimambi na Ndoto yake ya Kugombea Ubunge 2020..Afunguka Haya Pamoja na...

Akijibu hoja ya kwa nini hachukui uraia wa USA,Mange kupitia ukurasa wake wa Instagram alijibu anaogopa kuukana uraia wa Tanzania kwani atapoteza ndoto yake ya kugombea ubunge 2020Soma Alichoandika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizkid Amtolea Uvivu Shabiki wa Tanzania Aliemtukana Instagram

Baada ya Mtv ema kumpatia Alikiba tuzo ya african act kutoka kwa Wizkid ,mashabiki wa Tanzania hasa wa Alikiba wamevamia ukurasa wa Instagram wa star huyo wa Nigeria na kumtukana.Leo Wizkid ameshindwa...

View Article

Chemical - Mary Mary (Official Music Video)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Amber Lulu: Sijiachii Utupu Ili Nitamaniwe

MWANAMITINDO ambaye pia ni muuza nyago kwenye video za Kibongo, Lulu Auggen ‘Amber Lulu’ ameweka wazi juu ya picha anazoposti kwenye mitandao ya kijamii zinazomuonesha akiwa nusu utupu kuwa haweki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Alikiba akerwa na Watanzania wanaomtusi Wizkid

Alikiba ameelezea kusikitishwa kwake na Watanzania wanaomtukana staa wa Nigeria, Wizkid kwenye akaunti yake ya Instagram. Kiba amesema anaamini wale wanaomtukana si mashabiki wake kwakuwa mashabiki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nilifanya Collabo na AliKiba Nipate Ugali-Ommy Dimpoz Afunguka

Msanii Ommy Dimpoz ambaye kwa sasa amerudi kwenye game na kolabo ya wimbo wa 'Kajiandae' aliyofanya na Alikiba tena, ametoa sababu ya kuamua kufanya tena kollabo na msanii huyo.Akizungumza kwenye FNL...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rapper wa Kike Chemical Adai yeye Bado ni Bikra Hajawahi Guswa na Mwanaume

Msanii wa kizazi kipya anaepeperusha bendera ya Tanzania kwa kupitia songi lake jipya linalokwenda kwa jina la "I'M SORRY MAMA" mwanadada Chemical, amesema yeye ni bikira(hakuwahi kujigi jigi tangu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashabiki hawajui, kukaa kimya kwenye muziki sio kupotea kwenye muziki – Ommy...

Muimbaji Ommy Dimpoz amesema ukimya wake kwenye muziki sio kwamba alipotea bali alikuwa anafanya mambo mengine nje ya muziki.Ommy Dimpoz amesema watanzania wamekuwa na mtazamo tofauti sana hasa pale...

View Article